Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania,  Rosada Msoma akizungumza na wanafunzi na wakufunzi wa chuo cha Utalii(hawapo pichani) katika maonyesho ya utalii yaliyofanyika katika chuo hicho kampasi ya Bustani leo jijini Dar es Salaam.
 Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Fedha wa chuo cha utalii Tanzania Neema Kusiga, (watano katikati),Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania,  Rosada Msoma akiwa na wakufunzi wa Chuo cha Utalii Tanzania kutoka kampasi tatu za chuo hicho iliyofanyika katika Chuo cha Utalii kampasi ya Bustani jijini Dar es Salaam leo.
 Mpishi Issa Haji akitoa maelekezo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania, Rosada Msoma katika jiko la wanafunzi wanaojifunza kupika  vyakula mbalimbali katika Chuo cha Utalii Tanzania Kampasi ya  Bustani jijini Dar es Salaam.
 Mpishi Issa Haji akitoa maelekezo Kwa wanafunzi wa Chuo cha Utalii cha Wanyamapori kampasi ya Temeke katika maonyesho ya chuo hicho yaliyofanyika katika kampasi ya Bustani leo jijini Dar es Salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...