
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania {
RED CROSS } Bwana Shaaban Ali Iddi akikabidhi msaada wa Viatu Pair 90 kwa
Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr. Khalid Salum
Moh’d kwa ajili ya watoto wa familia zilizopata maafa ambao wapo Kambini Skuli ya mwanakwerekwe “C”.
Katibu wa Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr.
Khalid Salum Moh’d akiushukuru Uongozi wa Red Cross kwa misaada yao ya Kibinaadamu
waliyotoa kwa ajili ya familia zilizopatwa na maafa wiki iliyopita.
Uongozi wa Chama cha Msalaba mwekundu Tanzania ukimsikiliza Katibu wa
Kamati ya Taifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Dr. Khalid Salum Moh’d hayupo
pichani akitoa nasaha zake baada ya kupokea msaada uliotolewa na Uongozi huo.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...