Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu ( wa tatu kutoka kushoto) akimkabidhi moja ya komputa zilizotolewa na TTCL Bw. Nasibu Mengele aliyemwakilisha Afisa Elimu mkoa wa Iringa Bw. Eusedius Mtavangu katika halfa iliyofanyika katika kituo cha Global Outreach Tanzania mkoani Iringa.
Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu(kushoto) akifuatilia ngonjera kutoka wanafunzi (hawapo pichani) na meneje wa TTCL mkoa wa Iringa Bw. Humprey Ngowi.
Mwanzilishi wa Global Outreach Tanzania Bw. Stan Muessle akiongea na wageni waalikwa kutoka Marekani kupitia mtandao wa Skype uliowezeshwa na Intarnet kutoka TTCL.
Mgeni rasmi katika halfa ya makabidhiano ambaye alimwakilisha afisa elimu wa mkoa Bw. Nasibu Mengele (kati) akifuatilia wimbo wa shukrani kutoka kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Lugalo(hawako pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...