Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid(Mb), akishiriki mkutano  ambao ulijadili juu ya mapambano dhidi ya magonjwa Kama UKIMWI,Malaria na TB.walijadili jinsi ya kuimarisha huduma za kuwafikia wananchi Wengi zaidi kwa kutumia rasilimali zilizopo. Washiriki wengine wanaoonekana katika picha hii ni katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Donnan Mmbando(kulia kwa waziri), Mkurugenzi mtendaji wa mfumo wa Dunia wa kupambana na UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu. Dkt.Mark Dybul Pamoja na balozi Deborah mwakilishi maaalum wa masuala ya Afya duniani na mratibu wa masuala ya UKIMWI kutoka Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...