BIASHARA KWANZA, USALAMA BAADAE: Kauli hiyo ndio inayoonekana kwa vijana hawa wanaojihusisha na biashara ndogo ndogo ya kuuza machungwa eneo la Segera, Mkoani Tanga. maana wakiona basi limesimama mahala hapo, basi hawaangalii kabisa usalama wao, bali wanavuka tu kulifata hata kama kuna magari mengine yanapita.
Home
Unlabelled
BIASHARA KWANZA, USALAMA BAADAE....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...