Mstahiki
meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafidh Mukadam akizungumza wakati
wa ufunguzi wa Pepsi Meya Cup Shinyanga 2015,ambapo alisema lengo la
mashindano hayo ya mpira miguu kwa vijana yatakayoshirikisha timu 18 za
manispaa ya Shinyanga ni kwa ajili ya burudani,ajira na kusaka vipaji
kutoka kwa vijana katika manispaa ya Shinyanga.
|
Waamuzi wa mchezo wa ufunguzi wakikagua wachezaji wa timu ya Masekelo FC na Ngokol0 FC.
|
Mgeni
rasmi,ambaye ni mkuu wa wilaya ya Shinyanga ndugu Josephine akikagua
timu ya Ngokolo fc kabla ya mechi ya ufunguzi kati ya Masekelo fc na
Ngokolo fc haijaanza katika uwanja wa mpira wa Shycom Mjini Shinyanga.
|
Mechi kati ya Masekelo fc na Ngokolo fc ukiendelea ambapo hadi mwisho wa mchezo,Masekelo fc bao 2,na Ngokolo fc bao 2.
|
Wengine walipaki na baiskeli zao uwanjani kujionea kilichokuwa kinajiri uwanjani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...