Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu na Md of Huawei Tanzania Bw. Zhan Yongquan anayeshuhudia ni balozi wa china nchini Tanzania, Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia na waziri wa afya wa Zanzibar Bw kombo.
Waziri wa Wizara ya Sayansi pro. Makame Mbawara akielezea Data Center iliyojengwa hapa Tanzania . Pembeni yake ni Director wa ICT Dr. Ally Simba
Mr. Jiang Xin (Product Manager wa Huawei Enterprises) akielezea Data Center.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...