Jumamosi ya 6 Juni 2015 inasemekana haikuwa nzuri katika kambi ya FFU -ughaibuni baada ya msimu wa joto kuanza nchini ujerumani, kikosi maalumu cha kuangalia wanyama kiliungana na Kamanda ras Makunja kumsaka Bundi wa mkuu
huyo wa Ngoma Africa Band, Bundi maarufu kwa jina la udi udi alichomoka katika
banda maalumu katika makao ya Ras Makunja marufu kama himaya ya Anunnaki Alien.
Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa kuwa mzembe na kuupiga kikumbo mlango wa banda la Bundi na kumfanya bundi kutoroka, kamanda Ras Makunja aliwambia kikosi cha kuangalia wanyama kuwa "huyu mbwa si mlinzi
mzuri siku hizi amekuwa na utoto sana ! mbwa huyu tangu ampewe zawadi ya mpira na watoto wa jirani yeye kazi yake ni kucheza na mpira mpaka kavunja banda la Bundi.
Ras Makunja akilalamika na kudai kuwa huyu mbwa akiendelea na uzembe atamfuta kazi,Pia inasemekana midudu hiyo imetengewa eneo maalumu katika himaya ya FFU-ughaibuni, Bundi huyo baadaye alirudi mwenyewe baada ya kutoweka kwa masaa kadha.
Kamanda ras Makunja akiwa nje ya himaya yake.
huyo kolokoloni nambari 2 Kopro Dogi domo baya lazima atimuliwe kazi,inakuaje
ReplyDeleteawe bize na kucheza mpira tu na kusahau kazi yake
duh ! Noma huyo dog angesababisha nembo ya himaya ya Anunnaki kutoweka !
ReplyDeleteKamanda huyo mlinzi dog domo baya hana maana si mtumishi mwema mfukuze kazi
ReplyDeleteDr.Slaa umewasikia watoto wa mbwa hao ? wataanza kukubwakia sasa hivi
ReplyDeleteUkiweka mbali vituko vyake kamanda ras makunja ni mtunzi mwenye kipaji nyimbo zake nazikubali sana, mistari yake uwa inachoma moyo na mara nyingine kuleta raha
ReplyDeleteUkiweka mbali vituko vyake kamanda ras makunja ni mtunzi mwenye kipaji nyimbo zake nazikubali sana, mistari yake uwa inachoma moyo na mara nyingine kuleta raha
ReplyDeletekikamanda ketu cha ffu-ughaibuni kufanya nae kazi lazima uwe imara na mjeshi wa kisawa sawa
ReplyDeleteWAKUU NAJUA BAADA YA PURUKUSHANI HIZI LAZIMA HASIRA ZENU MTARUSHA SONG JIPYA LA KUTINGISHA ANGA
ReplyDeleteKamanda mkuu wa ffu-ughaibuni inasemekana ukiachia uwanamuziki wake jamaa yupo fit kwa mbio kila siku kilomita 5 joging sio mchezo
ReplyDeleteKamanda ni mfano mwema nasikia jamaa atumii kilevi chochote,avuti sigara mwangalifu sana katika vyakula pia mara nyingi usafiri na maji ya kunywa kutoka makao makuu ya FFU
ReplyDelete