Watoto wakiwa katika moja ya michezo wakiwa na hatari ya katatwa na vitu vyenye nnja kali kwakuwa wanatembea bila kuvaa viatu.
Watoto wakijaribu kuruka ukuta bila mafanikio.
 Hali si shwari kwa watoto hawa ambao walikua wakitaka kujaribu kuruka ukuta na kutokufanikisha lengo lao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2015

    Km wewe ulilelewa ushuani utaona hii sehemu hatalishi ila sisi wa uswazi mbona kawaida tu halafu mbona sehemu iko poa hiyo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2015

    hahahaha ivi kwa bongo hiyo wapi si hatarishi?????bongo nzima ni hatarishi ........hapa nazungumzia taarifa za takwimu za hapo hapo ndani.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2015

    naunga mkono anon hapo juu 27 June 2015. Hii ni kawaida tu. tena usione hawa wana sehemu nzuri ya kucheza, kuna sehemu zingine za kutisha lakini huwa inakuwa ni fundisho kwa watoto watakapokuja kuwa wakubwa watajitahidi kutafuta maisha mazuri zaidi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...