Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif, Waziri wa
Habari,utamaduni, Utalii na Michezo Mh. Said Ali Mbarouk pamoja na washabiki wa
Tamasha wakimshangiria Kiongozi wa Ngoma ya Utamaduni ya Lelemama akifanya vitu
vyake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanibari.
Vazi lenye asili ya watu wa Kitumbatu walilokuwa wakilitumia wakati
wakielekea mashambani huku mwana Mama anatembea akisuka ukili kuashiria ufundi
wa utamaduni wa asili.
Muimbaji mahiri wa Visiwa vya Comoro al anisa Shamsia Sagaf akitumbuiza
kwenye uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari hao Bwawani Mjini
Zanzibar.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...