Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
Mzee Mwinyijuma Said Muhigira akimkabidhi Katibu Mku wa CHADEMA Dkt. Willibroad Saa usinga, mundu na shoka ikiwa ni ishara ya kumkabidhi Uchifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, ambapo Wazee wa Pwani walimtunuku Dkt. Slaa jina la Chifu Mwinyikambi.
Sio baraza la wazee wa Pwani kama anavyodai Dr.Slaa ,huu ni mchezo kuigiza au Bongo Move ni baadhi ya wazee wenye njaa wakakubali kuigiza katika mchezo huu,
ReplyDeletelakini atakapo pita mitaa ya watoto wa mbwa watambwakia tu
Safi sana. Inaleta faraja kuona wazee wa pwani na maeneo mengine ya tanzania wameanza kuikubali chadema. Hongera Dr. Slaa, juhudi zako ktk kupiga vita ufisadi na kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii zinaonekana. Tunatarajia Chadema itachukua Ikulu, bunge, au vyote ktk uchaguzi mkuu wa october mwaka huu.
ReplyDelete