Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi akipokea Madebe maalum la kuhifadhia takataka,Katika ni Mkurungenzi wa Usalama wa Chakula Kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Raymond Wigeng iliyofanyika katika eneo la wazi la Posta ya zamani leo Jiji Dar es Salaam.
 Mkurungenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi akitoa shukrani kwa uongozi mzima wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kwa kupokea msaada wa madebe ya kuhifadhia takataka ili zisizagae hovyo msaada huo umetolewa katika eneo la wazi Posta ya zamani leo Jiji Dar es Salaam.

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhulia katika kikao hicho Kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) iliyofanyika katika eneo la wazi Posta ya zamani leo Jiji Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...