Maaskofu kutoka nchi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Kanisa la Habari Njema kwa Wote, lililopo mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo, ambako kulifanyika sherehe za kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari Askofu Dk. Charles Gadi Jumapili
Moja ya kikundi cha kwaya ambazo zilitumbuiza katika hafla hiyo.

 Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili

 Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania Jumapili

Askofu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste Afrika Mashariki, Atha Gitonga kutoka Nairobi, Kenya (kushoto), akimkabidhi fimbo maalum Askofu Mkuu Mteule wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote (Good News for All Ministry), Dk. Charles Gadi, katika hafla ya kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari, iliyofanyika mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo Jumapili
 Askofu Prof. Nathan Kihara kutoka Chuo Kikuu cha United Kingdom, Marekani (katikato), akimkabidhi Askofu Charles Gadi cheti cha udaktari wa heshima baada ya kutunukiwa shahada mbili kwa kutambua mchango wake katika jamii ikiwa ni pamoja na kuombea viongozi wa kitaifa akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...