Washindi wa mwaka jana wa Mashindano ya kutunisha misuli (The Most Musicular Man Tanzania 2014) wa kwanza kutoka kushoto ni msindi wa pili, Omary Lyombe, mshindi wa kwanza Mohamed Nouma (katikati) na mshindi wa tatu, Erick Majura wakionyesha utunishaji misuli wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Gymkana jijini Dar es Salaam leo. Mbele yao (walioketi) ni waandaaji pamoja na wadhamini wa shindano hilo
 Mratibu wa mashindano ya kutunisha misuli, Mohamed Ali akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) moja tuzo ya heshima atakayopewa mshindi wa kwanza wa mashindano hayo yatakalofanyika Agosti 29 mwaka huu kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere mjini Posta.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Torque Tyres, Mohamed Dewji, ambao ni wadhamini wakuu wa mashindano hayo ya kutunisha misuli akizungumza na waandishi wa habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...