Afisa Uchaguzi Mwandamizi Deogratus Nsawagwanko akimkabidhi fomu Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha wakulima (AFP), Mhe. Omari Mohamed Sombi leo katika ofisi za Tume ya uchaguzi  jijini Dar es Salaam.
Afisa Uchaguzi Mwandamizi, Bi. Rafiki Kiravu akitoa  maelekezo kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia  Chama cha Wakuliama (AFP), Mhe. Omari Mohamed Sombi kabla ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo katika ofisi za Tume ya uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia  chama cha wakuliama (AFP), Mhe. Omari Mohamed Sombi akionesha fomu ya kuwania nafasi hiyo hapa nchini  kwa  waandishi wa habari  mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za tume ya uchanguzi (NEC)  jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Si mchezo

    ReplyDelete
  2. mchezo huu na kutafuta umaarufu wa kipuuzi nani atakudhamini ww? tuwe makini na watu wanaopoteza muda kama hawa.

    ReplyDelete
  3. nimeipenda suruali yako

    ReplyDelete
  4. Huyu ni mtanzania ana haki ya kudhaminiwa, kuomba uteuzi na kuchaguliwa, mdau unayemsema acha kauli mbaya, jua hamna mwenye hati miliki ya kuwa kiongozi, ukiona unaweza kutimiza vigezo na una chama cha kukuwezesha kwa nini usijitokeze?.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...