Na  Bashir  Yakub.
Wakati  nilipoandika kuhusu  talaka  na  mambo  yanayokubalika  kisheria  kama  sababu  za  talaka  nilipata   maoni  na  maswali  mengi kutoka kwa  wasomaji wetu.  Kati  ya  hao  ni mmoja  ambaye  alijitambulisha  kwa  jina   na  kuwa  ni  mkazi  wa  kinondoni  Dar es  salaam. Huyu  aliuliza  swali  lake  ambalo  ndilo  kichwa  cha  makala  haya.  Alisema  ameziona  sababu  nilizoeleza  ambazo  zinapelekea   mtu  kupewa  talaka  lakini  sababu  inayohusu  tatizo  lake  hakuiona  na  hivyo  aliomba  nimpatie   ufafanuzi. Maelezo  yake  kwa  ufupi  yalikuwa  hivi:

1.KUPATA  MIMBA  NJE  YA  NDOA.

Ndugu  huyu  alichoeleza  ni  kuwa  yeye ni  muajiriwa  katika jeshi  la  Wananchi  wa  Tanzania.  Na  kuwa  mwaka  jana   alipangiwa  safari  ya kikazi   kwenda  Congo  kwa  ajili  misheni  maalum  ya  jeshi  kwa  kipindi  cha  miezi  sita.  Anasema  alikwenda  na kumuacha  mke  wake  nyumbani  kwake  ambapo  amerudi   mwaka  huu . 
Anasema   ndani  ya  wiki  moja  tangu  arudi  hakuielewa  hali  ya  mke  wake kitu  kilichomfanya  achukue  maamuzi  ya  kumpeleka  hospitalini  kwa  ajili  ya  vipimo.  Alifanyiwa  vipimo  vyote  na  hatimaye  kugundulika  ana  mimba  ya  mwezi mmoja.  Swali  la  ndugu  huyu  lilikuwa  ni  sheria  inasemaje  katika  hali  kama  hiyo. Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...