Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti NHIF akipokea Kikombe cha Ushindi wa Kwanza kundi la Mifuko ya Jamii Toka kwa Rais Jakaya Kikwete,kushoto na Kulia kwa Rais wakishuhudia tukio hilo Ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza na Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Stephen Wassira katika Ufungaji wa Maonesho hayo katika Viwanja Vya Ngongo Lindi
Meneja wa Mfuko wa NHIF Mkoa wa Lindi,Fortunata Kullaya(Alieshika kikombe)Kwa Pomoja na Mkurugenzi wa Masoko ,Rehani Athumani (kulia) na Grace Kisinga Afisa Uhusiano na mawasiliano Nhif wakishangilia Ushindi wa Kwanza Walioupata katika Maonesho ya Nane Nane Kitaifa katika Viwanja vya Ngongo,Manispaa ya Lindi.
Waziri Mkuu wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania,Mizengo Pinda Akisiliza kwa Makini maelezo ya Huduma zinazotolewa na Mfuko wa Bima ya Afya Toka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Bima ya Afya Makao Makuu,Bw Rehani Athuman.Huku Mkuu wa mkoa wa Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa karibu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...