SIMUtv: Mpambano wa kinyanganyiro cha kombe la ngao ya hisani kati ya Azam FC na Yanga umepamba moto huku bao bado ni bila. https://youtu.be/MbaSDAaq3XM
SIMUtv: Mambo ya Msuva dimbani ni hatari sana, hebu cheki  akionyesha jitihada na maujuzi yake dhidi ya goli  la Azam; http://simu.tv/OvKYhrO
SIMUtv: Ule wasaa uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu hatimaye umewasilili, dimbani ni Yanga FC na Azam FC  wakilisakata . Endela kuwa na Simu.Tvhttps://youtu.be/cjSAxyHE5kA
SIMUtv:  Ni dakika ya 15 si yanga wala azam imeweza kuona lango la mwenzake lakini yanga wanapata kadi ya manjano; https://youtu.be/yg-go2m8Jds
SIMUtv: Azam walazimika kubadilisha mchezaji kabla hata ya dakika 30, ni baada ya beki Shomari Kapombe kupata jeraha na kutolewa nje ya uwanja; https://youtu.be/yg-go2m8Jds
SIMUtv: Mambo ya Msuva dimbani ni hatari sana, hebu cheki  akionyesha jitihada na maujuzi yake dhidi ya goli  la Azam;  https://youtu.be/hoIsRcCcWGM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...