Star TV: Mgombea Uraisi Zanzibar Dkt. Ally Mohamed Shein aahidi kuendelea kulinda katiba ya Zanzibar na mwafaka wa serikali ya Umoja wa kitaifahttps://youtu.be/ceErRUcjnHE

TBC: Mahujaji watarajiwa washindwa kufanikisha safari ya kwenda kuhiji Mji Mtakatifu wa Makka baada ya kutelekezwa na wakala wao. https://youtu.be/RwYsbOmNTKk

Star TV: Serikali imeziagiza mamlaka za mdhibiti wa nishati ya maji EWURA na wadau wa uzalishaji wa nishati ya Gesi  kushusha bei ya Umeme.https://youtu.be/EIZUPx9hArk

TBC: Jeshi la Polisi Mkoani Manyara limewaonya wagombea nafasi mbalimbali za uongozi kuzingatia Ratiba za kampeni zilizotolewa na NEC. https://youtu.be/f1Dc1Sk-tFU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...