Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na balozi wa India Nchini Tanzania, Mhe. Sandeep Arya, wakati
alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Sept 7, 2015 kwa
mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja ya kumbukumbu na Balozi wa India Nchini Tanzania, Mhe.
Sandeep Arya, baada ya mzungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam,
leo Sept 7, 2015. Picha na OMR
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...