Mkuu wa Mkoa Dodoma,
Luteni Mstaafu, Chiku Galawa akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuwasilisha
Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na
Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma, tarehe 12
Septemba, 2015.
Mjumbe wa Kamati ya Maafa
wilayani Mpwampwa, Shekh, Sabah Seif akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kujadili
Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na
Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma, tarehe 12
Septemba, 2015.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...