MFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)  YAANI ‘TANZANIA INTER-BANK SETTLEMENT SYSTEM’ (TISS) WAONGEZA UFANISI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM
 Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga, akibadilishana mawazo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire, leo asubuhi kabla Kaimu Katibu Mkuu hajaongea na waandishi wa habari pamoja na wadau kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwa kuongeza muda malipo ya kibenki kupitia mfumo wa TISS.
 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire (wa tatu kutoka kushoto), akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) na wadau mbalimbali, kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwa kuongeza muda malipo ya kibenki kupitia mfumo wa TISS.
 Wadau mbalimbali wa Bandari ya Dar es Salaam na waandishi wa habari wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Bw Gabriel Migire (hayupo pichani) wakati akieleza mafanikio yaliyopatikana kwa kuongeza muda malipo ya kibenki kupitia mfumo wa TISS, leo asubuhi katika ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania(TPA).

 (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...