Rais wa Zanzibar Dk. Alli Mohamed Shein akikabidhi hundi ya TZS 60,000,000/- kwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima Zanzibar kwa ajili ya malipo ya fidia kwa wachumaji wa Karafuu watakaopata ajali Zanzibar.
Watendaji wa Shirika la ZSTC wakitoa msaada wa vifaa kwa vikundi vya Ushirika vya Uwatikaji miche Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la ZSTC akiwa ameshika tunzo ya Kimataifa ya ubora wa bidhaa na huduma kutoka Spain.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...