Home
Unlabelled
BEI YA MADAFU HII LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ila bwana haya mambo ya exchange rates yanaweza kukupa kizunguzungu.Siku kadhaa zilizopita nilibahatika kufika Marekani.Amgalia hii picha....Nikaamua kwenda 'Saluni' ya kawaida sana kunyoa nywele.Nikapokelewa vizuri na 'mdada' kutoka Ethiopia,akaninyoa,akaniosha kichwa vizuri nikaomba "bili" akaniambia dola 21.45 (kama Sh.42,000) nikaguna kidogo nikalipa.Nikatoka nje mvua ikaanza kunyesha nikaamua kuingia duka maarufu CVS Pharmarcy kununua Mwamvuli,nikaupata lakini mdogo kama ilivyo kwenye mazingira yao.Nikaenda kulipa nikaambiwa dola 18 (Sawa Sh.36,000) hivi, nikalipa nikarudi nilikofikia kupumzika.Kitandani nikawa nawaza bei ya "Saluni' za nyumbani na miamvuli hii ambayo huwa nanunua Sh.3,000 tena mkubwa sana.Saluni Sh.2,000 nanyolewa vizuri sana!!
ReplyDeleteDavid V