
Afisa Masoko wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) wa Tawi la Arusha, Regina Lema akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika maonyesho yaliyoandaliwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu nchini, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) pamoja na Kamati ya Wakuu wa vyuo Vikuu nchini (CVCPT) yanayofanyika jijini Arusha sambamba na kongamano la saba la elimu ya juu lililoanza leo Oktoba 1 -2, 2015.

Chuo Kikuu cha Muhimbili cha jijini Dar es Salaam kimeshiriki katika maonyesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu nchini, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) pamoja na Kamati ya Wakuu wa vyuo Vikuu nchini (CVCPT) yanayofanyika jijini Arusha sambamba na kongamano la saba la elimu lililoanza leo Oktoba 1 -2, 2015.
Mmoja ya washiriki ambaye amebuni mtambo wa kuchuja maji akitoa maelezo machache.
Mwakilishi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial, akitoa maelezo kwa Mgeni rasmi Profesa Awadh Mawenya, Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ambaye aliambatana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya.
Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Mandela cha jijini Arusha, akitoa maelezo kwa Mgeni rasmi Profesa Awadh Mawenya, Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania aliyeambatana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya. Picha zaidi BOFYA HAPA
UDSM kimeshakuwa chuo kidogo.
ReplyDeleteNicha 10 kati ya vyuo bora barani Afrika; cha kwanza Afrika mashariki na kati.
ReplyDelete