KUMBUKUMBU YA
MIAKA 2 YA ELIFADHILI MKAZE MNZAVA
Mpendwa mume wangu, leo umetimiza miaka 2 tangu ulipotangulia nyumbani
kukaa na Bwana Yesu.
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa sehemu ya maisha yako ambayo
yamekuwa ni baraka kubwa kwetu. Tunakukumbuka kwa upendo wako, ukarimu na
uwajibikaji wako.
Daima unakumbukwa na mimi mkeo, watoto wako, wakwe zako, wajukuu wako,
ndugu na marafiki. Pumzika kwa amani tutaonana tena Mbinguni kwa Baba.
Pumzika kwa amani baba yetu
ReplyDeleteWe love and miss you Baba
ReplyDeleteWe love and miss you Baba
ReplyDelete