Dk.
John Pombe Magufuli Mgombea Urais kupitia CCM akiwanadi wagombea kiti
cha Udiwani kwa wakazi wa Kinondoni kwenye mkutano wa kampeni
uliofanyika
kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.
Dkt Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Dkt Masaburi
Dkt Asharose Migiro akimwombea kura za ushindi wa kishindo mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya TP,sinza jijini Dar.
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Temeke,Ndugu Zuberi Abas Mtevu.
Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba akimpigia debe Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.
Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ubungo.Sinza jijini Dar kwenye uwanja wa TP wakati wa kampeni.Dkt Magufuli
ameendelea na kampeni zake mkoani Dar es salaam,ambapo kesho ataendelea kuhutubia kwenye majimbo mbalimbali ya jiji hilo.
Mgombea huyo amefanya mikutano ya
kampeni katika majimbo ya Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo na
Kinondoni huku akiwanadi wagombea ubunge na udiwani wa majimbo hayo,
Uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unatarajiwa kufanyika
jumapili Oktoba 25 mwaka huu.
Dk. John Pombe Magufuli Mgombea Urais kupitia CCM akimnadi mgombea ubunge jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwasalimia baadhi ya wakazi wa mji wa Kigamboni,waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Machava Kigamboni leo.
PICHA NA MICHUZI JR-DAR ES SALAAM.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA NA MICHUZI JR-DAR ES SALAAM.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Chagua Magufuli aongeze uwajibikaji, Tanzania iende mbele kimaendeleo.
ReplyDelete