Mbali na hilo,Uboreshaji wa Mfumo wa majini na Uchimbaji wa Visima ndio kipaumbele cha kwanza kwa Ole sendeka kwa Wananchi wa Simanjiro.
Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Namalulu Jimbo la Simanjiro.
Twende na Magufuli popote alipo.
Wananchi wa kata ya Namalulu wakionesha Umoja wao kuichagua CCM kwa nafasi za Udiwani,Ubunge na Urais katika Uchaguzi wa October 25 Mwaka huu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Bila khofu kwa kata ya 'Kolo-Wasi' ondoa shaka, tuombe uhai na uzima hiyo siku ya siku In Sha Allah.
ReplyDelete