SIMUtv: Utambue mpango wa kujitolea kuwasaidia watanzania kiafya ikiwemo magojwa ya saratani ya matiti na magojwa mengine yasioambukizwa:Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni October 17, 2015.

SIMUtv: Fuatilia namna ambavyo vuguvugu la kampeni za uchaguzi Mkuu linavyoweza kusababisha vurugugu siku ya uchaguzi https://youtu.be/EUyKaqh2fgQ

SIMUtv: Tambua ni kwa kiasi gani sera za wagombea kutoka vyama mbalimbali zimegusia saula la kupunguza ajari za barabarani: https://youtu.be/hnHRM2cXuY4

SIMUtv: Fuatilia namna serikali ilivyojipanga kulinda amani ya Nchi zikiwa zimesalia sikiu chache kuelekea uchaguzi Mkuu: https://youtu.be/otIRUog8MTY

SIMUtv: TFF yaunda kamati maalumu itakayoshugulikia mwenendo na maandalizi ya timu ya soka Taifa Stars kukabiliana na michuano ya kimataifa https://youtu.be/H5oCwIy6gcc

SIMUtv:  Mgombea uraisi CCM Dkt. Magufuli aahidi kudumisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioanzishwa na Baba Wa Taifa https://youtu.be/_ReVGfr6qHI

SIMUtv: Waangalizi 86 wa Uchaguzi toka Nchi wanachama wa SADC kutawanywa katika mikoa 25 kuangalia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu https://youtu.be/vRovhW4YHSU

SIMUtv: Mgombea Uraisi CHADEMA adai tume ya Taifa NEC kuwa chanzo cha kusababisha vurugu endapo itashindwa kubainisha idadi ya wapiga kura. https://youtu.be/JU-OUxS5rvI
SIMUtv: Serikali kupitia mfuko wa bima ya afya wafungua kituo cha afya mkoani Dodoma itakayosaidia kuongeza wigo wa huduma za figo nchini https://youtu.be/jSYcr4neIGM
SIMUtv: Kutotambulika  kisheria kwa wasaidiza wa sheria nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa wananchi kushindwa kupata haki zao kwenye vyombo vya sheria; https://youtu.be/tv-fKzYyGvA

Serikali yasaini mkataba na serikali ya China kwajili ya mradi wa ujenzi wa barabara za juu  katika eneo la TAZARA;https://youtu.be/oHaYxYCvtsc

SIMUtv:  Serikali kupitia mfuko wa bima ya afya wafungua kituo cha afya mkoani Dodoma itakayosaidia kuongeza wigo wa huduma za figo nchini https://youtu.be/jSYcr4neIGM
SIMUtv: Kutotambulika  kisheria kwa wasaidiza wa sheria nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa wananchi kushindwa kupata haki zao kwenye vyombo vya sheria; https://youtu.be/tv-fKzYyGvA

SIMUtv: Serikali yasaini mkataba na serikali ya China kwajili ya mradi wa ujenzi wa barabara za juu  katika eneo la TAZARA; https://youtu.be/oHaYxYCvtsc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...