Mkurugenzi wa Mfuko wa bima ya Afya ya Jamii (CHF) Eugen Mikongoti, akizungumza na Wadau wa Maendeleo ya Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusiana na utekelezaji wa  mifumo ya habari na mawasiliano ya uzalishaji na ufuatiliaji wa madai ya watoa huduma za afya kwa wanachama katika mkutano  uliofanyika leo ndani ya Hoteli ya Blue Pearl  Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari wa (NHIF)   Ali Othman akitoa mada katika Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusu utekelezaji wa  mifumo ya habari na mawasiliano ya uzalishaji na ufatiliaji wa madai ya watoa huduma za afya kwa wanachama katika mkutano  uliofanyika leo katika Hoteli ya Blue Pearl  Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya ushirikiano na Maendeleo kutoka Korea, Chun Chang Bae,  akitoa mada katika mkutano wa Maendeleo Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea jijini Dar es Salaam.
 Maofisa wa wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) wakiteta jambo kabla ya mkutano  kuanza katika hoteli ya Blue Peal jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka wa Glub ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...