SHIRIKA la Taifa la Hifadhi yaJamii(NSSF) limetoa Elimu kwa Wenyeviti na Makatibu wa Wakulima wa Korosho na Ufuta wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi kuhusu mpango wa Hifadhi ya Jamii kwa Wakulima, Mpango huo unamwezesha mkulima kupata mikopo mbalimbali ikiwemo mkopo wa vifaa vya kilimo pamoja na pembejeo za kilimo.
 
Aidha mpango huo unamwezesha mkulima na familia yake kufaidika na mafao mbalimbali yatolewayo na NSSF yakiwemo mafao ya matibabu ambapo mkulima atapata matibabu bure yeye na familia yake. 


Wanyeviti na Makatibu hao waliweza kuuliza maswali na kupata ufafanuzi wa kina kuhusu Mpango huu kwa Wakulima na jinsi ya kuwasaidia Wakulima kuondodokana na gharama za matibabu kupitia mafao ya matibabu yatolewayona na NSSF.
Wakulima wa Korosho wa Kilwa Masoko wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NSSF baada ya kumalizika kwa Semina.
Afisa Ushirika wa Vyama vya Wakulima (AMCOS) Bwana Vincent Mhengilolo akizungumza na Wenyeviti na Makatibu wa Vyama vya Ushirika wakati wa Semina iliyoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...