Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi ya Vodacom,Tanzania wakiwa katika ofisi za Mkuu wa Shue ya Sekondari Shimbwe iliyopo kata ya Uru wilayani Moshi vijijini ambako walifika kwa ajili ya kujionea uwekwaji wa programu za kujifunzia katika Kompyuta mpakato zilizotolewa shuleni hapo na Vodacom.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali na Learning In sync Tanzania,Lisa Wolker akitoa maelezo kwa Mkuu wa Vodacom kanda ya Kaskazini Henry Tzamburakisi kuhusiana na Programu maalumu zilizowekwa katika Kompyuta mpakato zilizotolewa na odacom.
Wafanyakazi wa Vodacom,Kana ya Kaskazini wakisikiliza kwa makini maelezo ya Lisa Wolker (hayupo pichani).
Baadhi ya Kompyuta zilizotolewa na Kampuni ya Vodacom kama msaada wa shule ya sekondari ya Shimbwe iliyopo wilayani Moshi vijijini.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...