Kiroba cha karoti ambacho kwa huko shambani kinauzwa kwa shilingi elfu tano tu fedha ambazo inasemekana ni kidogo ikilingamishwa na uzalishaji wa zao hilo
 Wakulima mashuhuri wa mbogamboga ikiwemo karoti katika kijiji Ndabwa wilaya ya Lushoto mkoani Tanga, Rehema Shegulio  (kushoto) na Hadija Shabani wakiwa wameshikilia karoti zao ambazo ni kubwa mithili ya mihogo. Picha na Vedasto Msungu 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ila waheshimiwa, mbona karate zenyewe kiwango duni?
    Na si karoti zetu tu, ukenda masokoni bidhaa zetu nyingi hazina mvuto wala kiwango.
    Tutawezaje kushawishi bei kubwa ilhali viwango haba?

    ReplyDelete
  2. @Madrasatun, nakubaliana na wewe kabisa. Carot ukiiacha shambani ikafikia ukubwa wa gimbi tayari imepoteza thamani yake. Elimu zaidi inatakiwa kwa wakulima wetu. Hope vile ziara za ng'ambo zimefutwa sasa extension officers watatimiza wajibu wao tofauti na mwanzo walikimbilia safari za nje

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...