Kampuni ya IVORI-IRINGA Inawataadharisha Wateja wake  Hususani Wasambazaji na Wauzaji wa Maduka ya Jumla na Reja reja kuwa, kumekuwepo na matapeli katika baadhi ya mikoa Nchini, Wakiuza bidhaa Feki kwa kutumia jina la pipi za Ivori kwa madai ya muonekano mpya wa bidhaa zetu.

Kampuni ya Ivori Iringa haijaubadilisha muonekano wa pipi zake wala Nembo yake,Hakikisha kila pipi unayonunua  ina nembo halisi ya Ivori kutoka Iringa.
kwa yeyote atakaenunua na Kutumia bidhaa  zinazofananishwa na Pipi za Ivori Iringa na kudhurika kiafya, basi kampuni ya ivori iringa haitahusika na malalamiko yoyote.

Ewe Mteja USIDANGANYIKE,
Nunua Pipi orijino ya Ivori Iringa kwa usalama wa Afya yako .
Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu

I.F.B (LTD)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...