Mkuu
wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi
wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi
Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi
linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao.
Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...