Kampuni ya Mawakili ya Yakubu & Associates Chamber usiku wa jumamosi wamezawadiwa tuzo mbili za Mwajiri Bora wa Mwaka 2015 na Chama cha Waajiri Nchini (ATE). Pichani juu ni vikombe vilivyozawadiwa kwa Yakubu & Associates Chamber kama Mwajiri Bora wa Mwaka 2015 Biashara za Kati
 Wadau wa Kampuni hiyo, Meneja wa Fedha, Husna Mkony,Naibu Mtendaji Mkuu (Biashara) Dr Timothy Kyepa(kati) na Meneja Utumishi na Rasilimali watu Ibrahim Pius,
Wakili Mtendaji, Saidi Yakubu akinyanyua juu vikombe walivyoshinda kama Mwajiri Bora wa Mwaka 2015. Picha kwa hisani ya Yakubu Chambers.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...