TBC

Ndalichako kuanza na shule za sekondari za serikali, Askari waliofanya mauji ya kinyama kizimbani. Pata dondoo za magazeti ya leo.   https://youtu.be/_72hzpy1xt8

Star TV

Mawaziri wapya watangaza kiama, IGP Mangu alifumua jeshi la polisi, serikali yastukia vifaa vya tiba asili na mbadala.  https://youtu.be/5N3StIbFYsY

Ch 10

Bosi Zantel auawa kinyama kwa risasi, Waziri Maghembe amshukia Kinana, Magufuli na Lowassa wamtesa Gwajima. Pata dondoo hizi hapa.   https://youtu.be/4rDMqlAJx8A

Azam TV

Ngoma atimkia Afrika kusini, Nimuboma na Majabvi sasa ki roho safi Msimbazi, Niyonzima Kitanzini. Pata dondoo za michezo hapa.  https://youtu.be/B7VEULSR87A

Mlimani TV

Taarifa ya kipindupindu sasa kutolewa kila wiki, mtuhumiwa wa dawa za kulevya aanguka kortini, Pata dondoo za magazeti ya leo hapa. https://youtu.be/xWi9yl1-jvM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...