Ndoa ya Bw. Yassin Shabani Kweka wa Maili Sita mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na bi Rehema Kisarika wa Mbauda jijini Arusha. Ndoa ilifungwa nyumbani Kwa mama Rehema tarehe 19/12/2015.
Bwana harusi akimlisha asali mkewe wakati wa aqdi mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Hati ya ndoa
Madada wa Bwana Harusi wakiwa na wifi yao...
Mawifi kutoka kulia ni aumu ,Leila, Minor na Fatuma.
Maharusi kwenye pozi ya furaha baada ya kumeremeta
maashallah allah awajaalie kila lenye kheri na wao amin na awape watoto wema wenye kushika dini amin...
ReplyDeletehaya na hao mawifi wote washaolewa maana maashallah na nataka tuunge udugu jamani kama bado watujuze tuweke nr ya simu asalam alykum