SIMU.TV:   Mbunge wa Lindi mjini Hassan Kaunje  ameanza mikakati ya kuondoa kero ya maji ikiwa ni utekelezaji wa ahadi alizotoa wakati wa kampeni;https://youtu.be/LrgiliHiBkM
 SIMU.TV:   Migogoro ya familia na ukosefu wa haki vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha ongezeko la ukatili kwa watoto; https://youtu.be/QUBxgDtc_vs
 SIMU.TV:   Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bunda ameazimia kuwafichua wabadhirifu wa fedha za miradi; https://youtu.be/z5gSqLInXbo
 SIMU.TV:   Wakazi wa Kongwa wamepunguza magonjwa ya milupuko zaidi ya asilimia 90 kutokana na elimu waliyoipata ya usafi wa mazingira;https://youtu.be/_Ue031daNYA
SIMU.TV:   Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Singida wameuomba mfuko wa Bima ya afya wa NHIF kupunguza kiwango cha kuchangia malipo ya huduma za afya. https://youtu.be/Wtaz5Byy-AA
 IMU.TV:   Wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu wametakiwa kutowaficha watoto wao majumbani na badala yake wawapeleke katika shule maalumu. https://youtu.be/R1Gppw4kvB4
 SIMU.TV:   Mtifunao wa ligi kuu soka Tanzania bara umeendelea kwa timu za Coastal Union na African Sports kutoka sare ya bao 1 kwa 1.https://youtu.be/o01HpE7hFUE
 SIMU.TV:   Watoto 42 kati ya 100 nchini wana udumavu kutana na kukosa lishe bora ikiwemo wazazi kutokuwanyonyesha watoto wao.https://youtu.be/wPFzso8GbRE
 SIMU.TV:   Madiwani wa Halmashauri ya Ileje mkoani Mbeya wametakiwa kubuni vyanzo vya mapato na kusimamia vyema matumizi ya wilaya hiyo. https://youtu.be/an0ni-aNlKc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...