Maria Mtura wa Kitanda
1933 - 14 Desemba, 2015 

Familia ya Jaji Mstaafu Steven James Bwana wa Plot. No. 903 Chakechake Rd. Masaki jijini Dar es salaam  inasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa Maria Mtura wa Kitanda kilichotokea jana tarehe 13 Desemba, 2015. 
Mwili wa marehemu utasafirishwa kesho tarehe 15 Desemba, 2015 saa Kumi Alasiri kuelekea kijijini Etaro, Musoma kwa mazishi. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote. 

Bwana alitoa, 
Bwana ametwaa.
na jina lake lihimidiwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...