SP2 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Adam Mayingu aliyemtembelea ofisi kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.
SP4 
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwa na Mkurugenzi mkuu wa PSPF Adam Mayingu alipomtembelea ofisi kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Januari, 2014.(Picha na Ofisi ya Bunge)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...