TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI

Taarifa ya Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue imeeleza kuwa uteuzi huo umeanzia tarehe 26 Januari, 2016.
Kabla ya uteuzi
huu Ndugu Julian Banzi RAPHAEL
alikuwa Katibu mkuu, Wizara ya Biashara na Viwanda, Serikali ya Mapinduzi Zanzib ar.
Ndugu
Julian Banzi RAPHAEL anachukua nafasi iliyoachwa wazi
na Ndugu Juma RELI ambaye muda wake
umemalizika tarehe 12 Julai, 2015.
Gerson
P. Msigwa
Kaimu
Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU,
DAR ES SALAAM.
28/01/2016
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...