SIMU.TV:  Timu ya mpira wa miguu Kawawa imeibuka kidedea dhidi ya Jitimaye katika mashindano ya kuadhimisha miaka 39 ya CCM;https://youtu.be/ojTgaWtzl_Y
 SIMU.TV:  Ligi kuu Vodacom yazidi kushika kasi kufuatia timu 3 za juu katika michuano kuweza kushinda katika michezo yao mitatu iliyochezwa; https://youtu.be/z-l_Ar83XWE
SIMU.TV:  Vilabu  vya DARTS Dar es salaam  vyaingia kambini kuanza mazoezi kwajili ya mashindano ya taifa huku wakiomba udhamini kutoka kwa wadau; https://youtu.be/6QFKqv5_C1A 
SIMU.TV:  Kiwanda cha sukari Mahonda Zanzibar huenda kikasitisha uzalishaji wa sukari kufuatia hujuma za kuchomwa kwa mashamba ya miwa; https://youtu.be/tlAHrxg_W5U
SIMU.TV:  CCM Makangira Msasani yazindua ofisi mpya za chama iliyogharimu mil 57 ili kuboresha mazingira ya utendaji wa chama;https://youtu.be/F09e3Uysl88 
SIMU.TV:  Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Tanga, wametakiwa kutenga bajeti ili kuboresha sekta ya elimu mkoani humo:https://youtu.be/Pd3E8NQjdAM
SIMU.TV:  Kupotea kwa sarafu ya shilingi 500 kumeonekana kuleta mkanganyiko mkubwa miongoni mwa wananchi na kusema ina vito vya thamani: https://youtu.be/KWluNFn805w 
SIMU.TV:  Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa amesema ataitisha kikao na viongozi wa dini zote nchini ili kuweza kuishauri serikali ya awamu ya tano:https://youtu.be/-ErxBVYaA64
SIMU.TV:  Vikosi vya ulinzi na usalama visiwani Zanzibar watakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutetea  mapinduzi ya Zanzibar:https://youtu.be/D7uFbznl3e0
 SIMU.TV:  Yajue mambo kadha wa kadha kutoka kwa mchambuzi akikudadavulia kuhusu Tanzania yenye viwanda nini nafasi ya kilimo:https://youtu.be/WxfKD_U_hoA
SIMU.TV:  Fahamu mengi kutoka kwa wadau wa kitengo cha ardhi nchini wakikuelimisha mengi kuhusu masuala faini ya kodi ya ardhi:https://youtu.be/8a1_tchAriU
SIMU.TV:  Jifunze mambo mengi kutoka kwa Mkurugenzi wa vyuo vya amali visiwani Zanzibar  akikujuza mambo mengi kuhusu vyuo hivyo :https://youtu.be/vGaHtI7wMvc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...