Baadhi ya Wadau wa Sheria na Wageni waalikwa walio
hudhuria Sherehe hiyo ya Kilele cha Sheria Nchini zilizo
fanyika Kimkoa katika Ukumbi wa Mkapa Jijini
Mbeya.
Mkuu
wa Mkoa kulia akimpongeza Mmoja wa Waimbaji mahiri wa Kwaya ya
Mahakama Kuu Bwana Masanja kwa kazi nzuri aliyo ifanya katika Tasnia
yake ya Uimbaji na Ungozi mzuri wa Kwaya hiyo ya Mahakama
Kuu.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...