Baadhi ya wananchi wa Eneo la Njiapanda Stereo Mkabala na Kanisa la Roma Jijini Mbeya wakiwa katika Bajaji iliyogongwa na Lori  aina ya Fuso   lililo kuwa likiiovateki Bajaji hiyo na kupelekea pia Lori  hilo kuingia kwenye Mtaro kutokana mwendo  kasi. Hakukuwa na majerui wala kifo..
Bajaji iliyogongwa na Roli ikiwa katika hali ya kusikitisha 
 Baadhi ya Wananchi wa Eneo hilo wakishuhudia Tukio hilo lilotokea leo Jijini Mbeya
Gari aina ya Fuso (Roli) likiwa katika jitihada ya kutolewa kwenye Mtaro.
PICHA NA MR.PENGO MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sio ROLI ni LORI kiswahili mbona kinaharibiwa ktk habari??!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...