Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani (mwenye suti nyeusi), Mbunge wa jimbo la Magu Mhe. Desidery Kiswaga (kulia kwa Naibu Waziri) na watendaji wengine kutoka wilaya ya Magu wakitoka kukagua kituo cha Afya cha Kabila wilayani Magu ili kujionea endapo miundombinu ya umeme imefika ambapo Naibu Waziri aliagiza kituo hicho kiunganishiwe umeme ifikapo Jumanne ya wiki hii.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (mwenye suti nyeusi) akikabidhi kifaa kijulikanacho kama readyboard kwa Mbunge wa Magu, Desidery Kiswaga (katikati) ambacho hufungwa ndani ya nyumba na kuwasha umeme bila kusuka nyaya za umeme ndani ya nyumba.
Mbunge
wa Magu, Mhe. Desidery Kiswaga (katikati) akiwaonesha wananchi wa kijiji cha
Kikangama wilayani Magu, kifaa kijulikanacho kama readyboard mara baada ya
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani (kushoto) kukabidhi kifaa
hicho kinachowasha umeme bila kuhitaji kusuka nyaya za umeme ndani ya nyumba.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...