Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi (aliyesimama), akiwasilisha mada kuhusu majukumu ya Mamlaka hiyo wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa alipofanya ziara ya siku moja Makao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.
Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) pamoja na Viongozi Waandamizi wa Mamlaka hiyo, wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (hayupo pichani), alipotembelea Makao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni. 
 Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati  na Maji (EWURA), Omary Bendera (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa Vitabu mbalimbali vyenye maelezo kuhusu Mamlaka hiyo, wakati alipotembelea Makao 
Makuu ya EWURA hivi karibuni.
 Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Omary Bendera (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa Vitabu mbalimbali vyenye maelezo kuhusu Mamlaka hiyo, wakati alipotembelea Makao Makuu ya EWURA hivi karibuni.
Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Omary Bendera (kulia) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt Mhandisi Juliana Pallangyo Vitabu mbalimbali vyenye maelezo kuhusu Mamlaka hiyo, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Wizara, Profesa Justin Ntalikwa Makao Makuu ya EWURA hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...