ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU
Al Madrasat Rahman iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-Salaam
.
INAWAALIKA KATIKA SHUGHULI YA MAWLID YA KUMSIFU
MTUME WETU MUHAMMAD (S.A.W) siku ya jumamosi 19/03/2016 Jitokezi kwa wingi!
Ndugu zetu watukufu wa kiislam Uongozi wa Al Masjid Qubbah na Madrasat Rahman ya Tabata Segerea Mwisho,Dar-es-salam inawaalika waislamu wote waume kwa wanawake,Masheikh,na Madrasat mbalimbali kuwa siku ya jumamosi ya tarehe 19/3/2016 kutakua na Maulid ya kumsifu bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika viwanja vya madrasat Rahman segerea mwisho.
Al Madrasat Rahman iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-Salaam
.
INAWAALIKA KATIKA SHUGHULI YA MAWLID YA KUMSIFU
MTUME WETU MUHAMMAD (S.A.W) siku ya jumamosi 19/03/2016 Jitokezi kwa wingi!
Ndugu zetu watukufu wa kiislam Uongozi wa Al Masjid Qubbah na Madrasat Rahman ya Tabata Segerea Mwisho,Dar-es-salam inawaalika waislamu wote waume kwa wanawake,Masheikh,na Madrasat mbalimbali kuwa siku ya jumamosi ya tarehe 19/3/2016 kutakua na Maulid ya kumsifu bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika viwanja vya madrasat Rahman segerea mwisho.
Kama ilivyoada kuanzia saa nne asubuhi kutakua na maulid
ya kina mama mpaka saa kumi alasiri, na baada ya swalatul inshai
kutakua
na maulid ya jumuiya waume kwa wanawake.Jitokezeni kwa wingi katika
shughuli hii,tuuzaje uwanja wa shughuli hii ,kushiriki kwenu ndio
mafanikio na baraka ya shughuli hii ya Maulid ya Mtume Muhammad(S.W.A)
Karibuni sana.INSHAALLAH
Karibuni sana.INSHAALLAH
WABILLAH TAUFIQIH mawasiliano Simu 0777 000036, au 0712 840 960
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...