Mwalimu wa Chuo cha Zenith Learning Center Ali Mussa Mohammed, akizungumza kabla ya kuaza Mahafali ya Nne ya Chuo hicho yaliofanyika katika Ukumbi wa Chuo hicho Majestik Zanzibar jengo la Zanlink,Jumla ya Wahitimu 28 wametunikiwa Vyeti vyao na Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib.
Wahitimu wa Mafunzo hayo wakiwa ukumbi wa Mahafali hayo ya yaliofanyika katikav Ukumbi wa Chuo hicho Majestik Zanzibar jengo la Zanlink 
Mgeni Rasmin wa Hafla hiyo ya Mahafali ya Nne ya Chuo cha Zenith Learning Centr akiwa na Viongozi wa Chuo hicho wakati wa Mahafali hayo yaliofanyika katika Chuo hicho Zanzibar. 
Mgeni Rasmin Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib na Ungozi wa Chuo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu hao baada ya kuwakabidhi Vyeti vyao.
 Imetayarishwa na OthmanMapara.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...