Wadau Adolph Ndyeabura na Dkt. Grace Matasha wakitoka nje ya Kanisa la Mtakatifu Gasper lililopo Mbezi Chini jijini Dar es salaam baada ya kufunga ndoa.
 Maharusi wakiwa na treni lao la wapambe baada ya kumeremeta
 Maharusi katika picha ya familia. Kulia ni mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii wa UK Chris Lukosi ambaye bwana harusi ni mtoto wa dada yake
 Dkt. Grace na wapambe wake
Safari inaanza kuelekea katika ukumbi wa Target ulioko Mbezi kwa ajili ya mnuso wa nguvu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...