Wadau Adolph Ndyeabura na Dkt. Grace Matasha wakitoka nje ya Kanisa la Mtakatifu Gasper lililopo Mbezi Chini jijini Dar es salaam baada ya kufunga ndoa.
Maharusi wakiwa na treni lao la wapambe baada ya kumeremeta
Maharusi katika picha ya familia. Kulia ni mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii wa UK Chris Lukosi ambaye bwana harusi ni mtoto wa dada yake
Dkt. Grace na wapambe wake
Safari inaanza kuelekea katika ukumbi wa Target ulioko Mbezi kwa ajili ya mnuso wa nguvu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...